Vijana wengi huingia katika balehe mapema sana, kuishi maisha ya kupendeza sana, maisha ya vurugu, na ngono kwenye mitandao kuliko kizazi chochote kabla. Na bado vijana wengi wa kike hawajakomaa vile watu wanavyofikiria. Ukuaji wao wa mwili na mabadiliko ya haraka ulimwenguni. Kwa kuongezea huend shule muda mrefuu, hivyo hawana uzoefu na majukumu ya watu wazima kuliko wasichana wakizamani. Vijana wa kike huwa na tabia ya kuleta changamoto kwa mamlaka na kujilinganisha na marafiki. Vijana wa kike huwa wachangamfu, wabunifu, wanajali na wasiri. Lakini pia huitaji muongozo na msaada kutoka kwa wazazi, bibi na babu, wanafamilia na washauri. Kuweka njia za mawasiliano wazi kunaweza kumsaidia binti yako kuwa mkweli nini anachokifanya na kuhisi. Unaweza kumfanya mtoto ajielezee kwa urahisi zaidi unapofanya nae shughuli kadhaa pamoja kama kuandaa chakula, au kuosha vyombo au kuendesha gari. Zaidi ya hayo aina ya malezi itabidi ibadilike wakati binti yako anajifunza kufanya maamuzi peke yake na anakuwa zaidi. Vijana wengi kipindi huki hupitia machafuko makubwa ambayo yinaweza kuacha makovu ya kudumu. Uzoefu wa maisha ya binti yako na mzazi wake, mzazi wake huchukua sehemu kubwa. Mzazi zingatia utu wa mtoto wako, jambo la mwisho mtoto wako anahitaji. Ikiwa hujashiriki kikamilifu binti yako kumbuka haujachelewa sana kuanza.
MALEZI NI MALENGO